Maumivu ya Mgongo, Kiuno na Viungo kwa ujumla ni hali ambayo inawatesa watu wengi
Huenda ni wewe umehangaika kwa muda mrefu sana
Moja ya kitu ambacho huchochea sana Maumivu ya Viungo ni pamoja na Upungufu wa Madini ya Calcium pamoja na Vitamin D
Upungufu wa madini ya Calcium na Vitamin D husababishwa na ulaji mbovu, Kushindwa kula Mboga mboga za Majani za kutosha na matunda lakini pia umri unaweza kuwa sababu.
Leo ukianza kutumia hii bidhaa ya Forever Calcium unajiweka kwenye nafasi nzuri ya Kuongeza Madini ya Calcium na Vitamin D.
Bidhaa hii imewasaidia wengi na wamekua sawa