SHILAJIT ( MUUMIANI )
Faida za Shilajit
Kuongeza nguvu na stamina – hupunguza uchovu na kuongeza nguvu za mwili kwa siku nzima.
Kuongeza nguvu za kiume – huimarisha hamu ya tendo, ubora wa mbegu, stamina na nguvu ya kusimama.
Kuimarisha ubongo – huongeza umakini, kumbukumbu na kupunguza msongo wa mawazo.
Kurekebisha homoni – huongeza testosterone na kusawazisha homoni kwa ujumla.
Kuondoa uchovu – husaidia watu wanaofanya kazi nzito au mazoezi makali.
Kuimarisha kinga – huongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa.
Kupunguza uzee – hulinda seli kutokana na uharibifu (antioxidant).