Royal Jelly ni bidhaa yenye mchanganyiko wenye virutubisho muhimu sana kama vile Protein12%,Sukari11% na VitaminB.
-Ni chanzo kikubwa cha Vitamin na amino acid,Calcium,Chuma,Magnesium
Faida za royal jelly
●Husaidia kuzuia maumivu kabla au baada ya hedhi
●Inapunguza kasi ya kuzeeka
●Inarekebisha mapigo ya moyo
●Kurekebisha kumbukumbu
●Inarekebisha matatizo ya ngozi na kurekebisha seli za ubongo
●Kuimarisha kinga kwenye mfumo wa kizazi
●Inasaidia reproduction
●Inasaidia kufanya kazi vizuri kwa mifupa kuwa strong
●Inasaidia kuondokana na Athma
●kupunguza uwezekano wa kansa inayoweza kusababishwa na estrogens