FAIDA ZA ROYAL JELLY;
• Kuboresha mfumo wa uzazi kwa kurutubishanq kupevusha mayai.
• Kuondoa maumivu wakati wa hedhi na kurekebisha mzinguko wake.
• Kuondoa matatizo yatokanayo na kukoma kwa hedhi.
• Kurutubisha nywele na kupunguza kasi ya kuota mvi.
• Kuondoa msongo wa mawazo na kukupa utulivu (mood & concentration).
• Kupata usingizi wakati wa usiku vizuri.
• Kukupa nguvu.
• Kupunguza kasi ya uzee kwa kuondoa mikunjo ya ngozi (wrinkles).
Royal Jelly sio dawa BALI ni Chakula cha asili/virutubisho. Hivyo tumia kurutubisha afya yako.