P.i.d honey:
ni *asali* iliyochanganywa kwa majani na mimea ya mitishamba kwa ajili ya kutibu magonjwa ya akina mama,
kama;-
1). p.i.d;- ni maambuzi yaliyoathiri mfumo wa uzazi wa mwanamke,
yaani;- i). mfuko wa uzazi(uterus),
ii). mirija ya uzazi(fallopian tubes),
iii). oval(ovaries).
2). kusafisha mfumo wa uzazi,
3). kuondosha
maumivu makali wakati wa tendo la ndoa,
4). mvurugiko wa hedhi, kutoka bila kikomo na ukosefu wake,
5). magonjwa ya ngono ya kuambukizwa,
6). pia hutibu chango aina zote, kiuno na mgongo