Inazuia mchubukO wa mishipa ya damu wakati wa mzunguko wa damu
Huondoa na kukinga mafuta kwenye damu( cholesterol)
inakabiliana na kuvimba kwa mishipa ya damu
winaondoa mapigo ya hatari ya Moyo
inakabiliana na kuvimba mwili mzima kwa ujumla
-kuondoa sukari kwenye damu
kuzuia kuvimba kwa ateri( ateria plaque)
(ulaji wa samaki kwa wingi huongeza omega3 inamsaidia mtumiaji kumlinda dhidiyacmagonjwa)
FAIDA ZA KIAFYA
Huboresha afya ya ubongo na kumbukumbu
kusaidia watu wenye shida ya sukari
Ihutatua afya ya shinikizo la damu presha ya (juu na ya chini)
INi nzuri kwa wajawazito na wanaonyonyesha
IHusaidia wenye shida ya mifupa,mifupa kusagika na kushindwa kukunjika
Husaidia afya ya Macho
Kuondoa msongo wa mawazo( depression)
Ini nzuri kwa watoto na wanaosoma,huongeza uwezo wa kumbukumbu na uwezo wa akilikua mkubwa zaidi (IQ)