Mwani kama marighafi kutengeneza bidhaa mbalimbali
Mwani uko na rangi tofauti tofauti,
Mwani ni marighafi hutumika kusindikwa
kwenye viwanda kama,
•usindikaji wa vyakula,
•vinywaii,
•Rangi za kupaka,
•dawa za meno,
•sabuni,
•shampoo n.k
Pia mmea huu hutumika kama chakula cha binadamu, wanyama na kutengeneza
mbolea. Nk