Mpango maalum wa lishe kuongeza uzito {gain weight program}
hasa kwa wasio na hamu ya kula {loss of appetite}
kuwa mwembamba sna ni tatzo, unaweza kuwa rahis sna kupata magonjwa na vitu km ivo. bidhaa hiz toka kampuni ya forever living products, yenye matawi nchi zaid ya 160 dunian ikiwemo tanzania na kusambaza bidhaa za afya, zitakusidia kuwa na uzito unaofaa.
forever bee pollen.
ni vidonge vya asali vyenye vitamin a na b complex, vina 8 essential amino acids (protin muhimu za kujenga mwili), inakupa nguvu na kinga za mwili.
forever bee honey.
ni asali nzur zaid ktk soko la asali, yenye virutubisho ving ambavyo vimajenga na kuupa kinga mwili. ni asali ya nyuki wadogo.
forever bits n peaches.
ni kinywaj cha aloevera kiicho na matunda aina ya peaches. kina virutubisho ving ambavyo mwili wa binadam unahitaj na pia kinaongeza hamu ya kula
forever kids.
ni vidonge vilivotokana na matunda mbalimbali km machungwa na mengine. kina vitamin za aina nying na kinaongeza hamu ya kula.