Kwanini ukiumwa : Daktari anashauri ule mbogamboga na matunda kwa wingi? . . Kwasababu mwili una mazingira mawili : #Acidic na #Alkaline Mwili unapokua acidic sana - haya ni mazingira ya bacteria, fangus, virusi kukua na kusababisha magonjwa Mwili ukiwa ALKALINE - bacteria, fangus na virusi vinakosa nguvu ya kusurvive na hufa hivyo hupati magonjwa hovyo . . Mboga mboga na matunda vinahamisha mwili kutoka kwenye mazingira ya ACIDIC kwenda kwenye ALKALINE (kama kutoka kwenye moto kwenda kwenye baridi) . . Forever Supergreens ina matunda na mbogamboga muhimu aina 20 itakusaidia sana kuweka mwili kwenye mazingira ya ALKALINE ili usishambuliwe na magonjwa hovyo! na utapata choo kilaini kabisa