Royal Jelly ni bidhaa yenye mchanganyiko wenye virutubisho muhimu sana kama vile Protein12%,Sukari11% na VitaminB. -Ni chanzo kikubwa cha Vitamin na amino acid,Calcium,Chuma,Magnesium Faida za royal jelly ●Husaidia kuzuia maumivu kabla au baada ya hedhi ●Inapunguza kasi ya kuzeeka ●Inarekebisha mapigo ya moyo ●Kurekebisha kumbukumbu ●Inarekebisha matatizo ya ngozi na kurekebisha seli za ubongo ●Kuimarisha kinga kwenye mfumo wa kizazi ●Inasaidia reproduction ●Inasaidia kufanya kazi vizuri kwa mifupa kuwa strong ●Inasaidia kuondokana na Athma ●kupunguza uwezekano wa kansa inayoweza kusababishwa na estrogens