IJUE FOREVER KIDS Watoto wengi wanakosa lishe bora kwasababu wanashindwa kupata virutubisho vya kutosha kutoka kwenye chakula. Hii inatokana na watoto wengi kutopendelea kula mboga za majani. Vile vile ukosefu kwa vitamin unaweza ukawapelekea watoto kukosa hamu ya kula na hivyo kupelekea kudhoofika kwa afya. JE FOREVER KIDS NI NINI? Forever Kids ni Multi-Vitamin kwa ajili ya watoto. Ipo kwenye vidonge vitamu kama pipi hivyo kufanya watoto wavipende huku vikiwapa virutubisho muhimu wanavyovihitaji kila siku ikiwemo vitamini A, C, D, na B12, Calcium, Iron na Zinc. MTOTO WAKO ATAPATA FAIDA ZIPI? # Inasaidia kuwapa watoto vitamin na madini muhimu kwa afya njema na kuboreshe mfumo wa kinga na hivyo kuuwezesha mwili kupambana na magonjwa. # Inasaidia kuwarejeshea watoto hamu ya kula na hivyo kuwapa virutubisho zaidi na kuboresha afya