Hello habari, tatizo la maumivu ya magoti, miguu na kiuno limekuwa kilio kwa wengi hususan wazee, hii ni kwakuwa umri unapozidi kwenda ute uliopo kati ya mfupa wa kiungio na msuli unazidi kupungua, hivyo ukipungua unapofanya matembezi na kukishuhulisha kiungo utaanza kusikia moto au maumivu kwakuwa ute ule kazi yake ni kuzuia msuli na mfupa wa kiungio usisuguane unapotembea, hivyo kutokana na umri na kazi zingine ngumu vijana wanazofanya wanajikuta wanaingia kwenye hili tatizo, lishe tunayopata pia sio bora iweze kutuzakishia ute kwenye mifupa pia, hivyo tumekuletea freedom ije kukupa msaada wa wewe kuongeza ute kwenye mifupa yako na kwenye viungio ili uweze kuwa huru tena kama ilivyokuwa hapo mwanzo, tupigie tunapatikana masaa yote au pia chat whatsapp tukuhudumie, utaletewa pia mpaka ulipoCall