Hii inaitwa forever bits and peaches ni kinywaji asilia kilichotengenezwa na mmea wa alovera, peach na matunda mengine ili kuifanya radha yake kuwa nzuri, faida ya supplement hii ni kama ifuatavyo -husaidia katika digestition system mwilini - huongeza hamu ya kula mara kwa mara(apetite) -hutibu maumivu ya tumbo -usafisha utumbo wa chakula
Aloe vera gel ni product chini ya forever living, kazi yake kuu 1. huondoa sumu na gesi mwilini. 2. huondoa taka mwili hivyo huboresha mmeng'enyo wa chakula. 3. hupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo, hivyo huondoa kichomi na kiungulia. 4. Inarutubisha ngozi yako kwa vitamin c na D kwa wingi hivyo hung'arisha ngozi. 5. inabalance acid mwilini kwa kuongeza base na kufanya mwili kuwa alkaline.
ALOE BERRY NECTAR Hii ni bidhaa ya Aloe vera yenye ladha Nzuri sana ya matunda. Ina pure Aloe vera