FOREVER BEE PROPOLIS! Hii ni antibiotic ya asili inayotengenezwa na nyuki baada ya kuchukua unato utokao kwenye miti(sticky resin) na kumeng’enya. Nyuki hutumia propolis kuizungusha kwenye mizinga ili kuukinga mzinga usishambuliwa na wadudu. Bidhaa hii ni ya asili kwa asilimia mia moja na ina virutubisho vingi kama madini, enzymes , amino acids 22, Na Vitamini B-complex. Bee propolis ina kampaundi nyingi zinazo ongeza kinga ya mwili, kuzuia magonjwa nyemelezi, kuua bacteria ,fangas, virusi , pia zinazuia vimbe mwilini. Faida: Pumu, mafua, vidonda, kifua , koo, arthritis, MRSA, virus na kuongeza kinga ya mwili.