FAIDA ZA KUTUMIA ARTIC SEA1.Omega 3 Inatumika kujenga nerves za mtoto aliye tumboni, hivyo mama mjamzito akitumia omega 3 itasaidia kumfikia mtoto na hivyo kumjenga mtoto vizuri haswa kwenye ukuaji wa Ubongo(nerve development of the fetus) 2.Matumizi ya Omega 3 kipindi cha mimba itasaidia Ku balance Cholesterol mbaya kwa mama lakini pia kuongeza uzito wa mtoto kipindi anazaliwa(lower bad Cholesterol to mum and increase birth weight for the baby) 3.Tafiti zinaonesha kuwa matumizi ya mafuta ya Samaki kwa mama na mtoto hupunguza risk ya kuzaa kabla ya wakati na allergied kwa watoto 4.Omega 3 inasaidia Kumuondolea mama msongo wa mawazo kipindi cha mimba na hata baada ya kujifungua 5.Inasaidia Kwenye Afya ya Moyo kuweka sawa level ya cholesterol 6.Inasaidia kwa Mtoto Kupata Usingizi mzuri