-Mwani unaboresha afya ya mapafu kama mtu ana shida ya kupumua au upungufu wa pumzi.
-Mwani unasafisha mapafu kwa wavuta sigara na wanaofanya kazi kwenye maeneo yanayoathiri mapafu :viwandani, majikoni nk.
-Mwani unafaa kwa afya ya uzazi jinsia zote huboresha tendo la ndoa
-Husaidia kupata usingizi
-Hupunguza maumivu ya hethi
-Husaidia kuthibiti homoni zinazochochea saratani
-Ulaji wa mwani husaidia kuchoma mafuta mabaya mwilini (Bad cholesterol)
-Mwani hupunguza kasi ya kupata magonjwa ya moyo, kisukari, kansa, kiarusi na kuboresha afya ya moyo.
-Mwani una sifa kutibu matatizo ya tumbo kujaa gesi.
-Rishe nzuri pia kwa watoto ukuaji
-Mwani unasaidia kutoa ganzi mwilini.
-Mwani unavirutubisho hivyo husaidia kuweka Sawa homoni.
-Mwani unaboresha afya ya mama mjamzito na aliyejifungua
-Hupunguza sumu zilizoko mwilini