Ni kirutubisho kazi zake
1).inaongeza hamu ya kula.
2). inasaidia katika ukuaji wa mifupa na ubongo.
3). inasaidia watu wenye matatizo ya macho kutokana na vitamin c kwa wingi iliyo ndani yake.
4).inaongeza madini ya chuma na kusafisha damu na kuongeza damu.
5).inasaidia ukuaji wa mifupa na kuondoa changamoto za ulemavu kwa mtoto.
6). inamsaidia mama mjamzito kukuza vizuri kiumbe tumboni kutokana na wingi wa madini ya chuma.
7).inasaidia kushikiria mji wa mimba mama asiweze kujifungua kabla ya wakati( miscarriage)
.husaidia watoto ambao viungo vyao vemekakamaa au kulegea sana isivyo kawaida
9).husaidia kuimarisha kinga ya mwili ya mtoto na kufanya asishambuliwe na maradhi ya mara kwa mara
10).husaidia watoto ambao ukuaji wao sio mzuri,hawaongezeki uzito kulingana na umri wao
note: ni bidhaa bora ya asili tuwasiliane