Hii ni bidhaa lishe nzuri sana kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
kazi na faida zake ni kama zifuatazo:
1.Kuzuia na kuondoa tatizo la kupata choo kigumu (constipation).
2.Husafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomoni hadi sehemu ya haja kubwa.
3.Hupunguza na kuepusha madhara ya saratani ya utumbo.
4.Huondoa sumu zote kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
5.Husaidia kuboresha muonekano wa ngozi iliyofubaa sababu ya ulaji mbovu.
Tunapatikana Dar es salaam
Na Tanzania nzima.
Tuwasiliane