SIFA*
imetengenezwa na mbegu mbegu za nafaka kama za maboga, karanga, mihogo, korosho hapa utapata madini mbali mbali ya zinc
*KAZI*
inaondoa makovu mwilini
inatumika kwenye uoni
inasaidia kuponya vidonda(vya nje na ndani)
inasaidia kutoa sumu mwilini
Inamkinga mwanaume na tezi dume
inasaidia kukaza misuli ya uke kwa wanawake walio toka kujifungua
inaongeza nguvu za kiume
inasafisha system ya uzazi
inasaidia mji wa mimba kua imara
inasaidia kupevusha mayai kwa mwanamke
inaongeza hamu ya tendo la ndoa
inaongeza Ute Ute mwilini