All Natural, Chemical-Free, Alcohol Free, Allergen-Free
Features
Before Meal
When to Take
Bottle
Package
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Mon - Sat, 06:00-20:00
FAIDA ZA ASHWAGANDHA
1. Ashwagandha kwa afya ya akili na ubongo
*Inauwezo mkubwa wa kufanya ubongo ufanye kazi yake vizuri kama vile
-kuongeza ufahamu,kuongeza kumbukumbu na kuongeza usikivu.
*Ashwaganda ni kiboko ya depression anxiety and stress
*Husaidia kuondoa tatizo la kukosa usingizi
Ashwaganda Huimarisha afya ya moyo na kudhibiti magonjwa yanayoshambulia moyo kama vile blood sugar na cholesterol
3.Ashwagandha kwa afya ya mwanaume
*Ina boost testosterone level
*Inauwezo mkubwa wa ku boost kizazi kwa mwanaume
*Inamjengea mwanaume misuli na kumpa 'six pack'
*Inaongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.Husaidia kupunguza mafuta yasiohitajika mwilini na kupunguza uzito.
5.Ashwagandha kwa mwanamke husaidia tatizo la hormone imbalance na kuondoa ukavu na maumivu wakati wa tendo