Karibu Mr mizani Tanzania Ltd ni wauzaji machines mbali mbal kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni
Closed
• Mon - Sun, 08:00-18:00
Multi-Purpose Pressure Gun
Pata kifaa kinachofanya kazi zaidi ya moja kwa bei nafuu kabisa.
•Kuosha gari, Hii ni binafsi ukiwa nyumbani kwako na hata ukiwa safarini.
•unaweza kitumia kwa kupigia dawa na kumwagilia shambani au bustani.
•Fumigation nyumbani, ofisini na kwingineko.
Kifaa hiki kina battery la 48V.
Ni rahisi kubebeka.
Bei:190,000/=Tzshs.
Free delivery ndani ya DSM. Mikoani pia tunatuma.