Karibu Mr mizani Tanzania Ltd ni wauzaji machines mbali mbal kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni
Closed
• Mon - Sun, 08:00-18:00
Inauzwa mashine ya kusagia nafaka(Grain Grinding Machine) kwa bei nafuu kabisa.
Inasaga nafaka kama vile karanga, kunde, mahindi, pia unaweza itumia kwa kusagia mchanganyiko wa viungo mbalimbali na unga wa lishe pia.
Inatumia umeme kidogo na ni rahisi kutumia pia.
Malipo ni baada ya kupokea/kuiona bidhaa yako.