Karibu Mr mizani Tanzania Ltd ni wauzaji machines mbali mbal kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni
Open
• Mon - Sun, 08:00-18:00
Moisture ni kifaa kinachotumika kipimia unyevu katika mazaoo kama maharage Michele ngano myama mahind n.k
Kuna vipimo vya
Mazao 14 bei ni 220,000
Mazao. 24 bei ni 820000
Mawasiliano +Whatsapp
+
Tunapatikana kariakoo sokoni Mtaa wa nyamwezi na mkunguni opp sandaland
Pia tunafanya delivery mikoani pia tunatuma kwa uaminifu zaidi
Karibuni sanaa