Karibu Mr mizani Tanzania Ltd ni wauzaji machines mbali mbal kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni
Open
• Mon - Sun, 08:00-18:00
Fisher Gold bug ni detector ambayo inatumika kuatafutia madini aina ya metal kama dhahabu silver copper Tanzanite n.k
Inadetect kuanzia 2.5meter in depth
Inakuwa na coil mbili ambayo ni kubwa na ndogo
Wahi sasa mzigo umefika
Tunapatikana kariakoo mtaa wa nyamwezi na mafia stendi ya mabibo
Mawasiliano071XXXXXXX