Unaweza kutumia taa hizi kufunga kwenye ukuta wa nyumba yako au kwenye fance kazi ya taa ni kuhakikisha nyumba yako inakuwa na usalama kipindi cha usiku kwasababu watu wabaja wanaweza kuja bila kuonekana na mtu yoyote pia upunguza gharama za manunuzi ya luku kwanini kwasababu taa inatumia umeme wa juwa yani solar ivyo basi ukiagiza nyingi na ukazifunga nyingi nje ya nyumba yako basi utakuwa umepunguza gharama kubwa kununua umeme pili ni umeme wa uhakika usio katika
Kwenye picha nimekuwekea taa 2 moja ni 240w iyo kubwa na ya pili ni dogo 180w iyo kubwa ya 240w ni laki 110,000 tu na iyo ndogo ya 180w ni elfu 95,000 nasema ivi ukitaka upate mwanga wa kutosha agiza za kutosha utanishukuru badae
Warranty ipo mwaka 1 delivery tunafanya
Bei ninayo kuwekea hapo chini ni bei ya 240 w ambayo ni 110,000 sio bei ya taa zote 2