Jinsi ya kutumia:
01: safisha kwa maji safi na ukaushe ngozi ya mwili wako
02: Chukua kiasi kidogo cha mafuta ujipake mwilini mwako
03: subiri kwa dakika 10 mpaka 30 utaona ngozi iliyokufa ya juu inaanza kutoka na baada ya hapo osha mwili wako kwa maji safi