Soap & glory vitamin c face wash .
● wateja wangu wanaotumia hiii wanaijua balaaa lake ,
yaani ukitaka kutoa taka zote kabisa kwenye ngozi yako , hii inakufaaa .
●yaaani , inaondoa dead cells zote na ni antioxidant ambayo inasaidia ngozi yako katika kuludisha (kurepair ) cell zilizokufa .
● inakupa muonekano wa ujana zaidi , kwa kuondoa mikunjo mikunjo na madoa sugu yote kwenye ngozi .
● inang'arisha ngozi yako na kukupa muonekano mmoja mwili mzima .
inamanukato yenye harufu nzuri sana .
piga / whatsapp062XXXXXXX