FAIDA ZA ALOE LIQUID SOAP
*Ni Sabuni ya maji yenye Aloevera inayofaa kuoshea uso, mikono na kuogea.
Ni nzuri sana kuogeshea watoto kwa kuwa haitoi machozi na hufanya ngozi yake iwe laini na yenye unyevu unaofaa
*Husaidia matatizo ya ngozi kama pumu ya ngozi(eczema)psoriasis,dermatitis
*Haiwashi inafaa kwa ngozi yoyote kwa kuwa ina PH na ngozi na hii husaidia kupenya kwenye ngozi na kutoa uchafu uliojificha.
*Inaweza kutumika kunyolea ndevu.
*Huacha ngozi ikiwa laini sana na ya kuvutia
*Ni nzuri kwa kuoshea sehemu za siri, huzuia miwasho na harufu mbaya.