Corner Uhuru/Bibi Titi Moh'd Road Opposite NBC Bank Mnazi Mmoja Dar Es Salaam, Tanzania
Bolt and Map Search Faith Online Shop
Closed
• Mon - Sat, 09:00-18:00
Pata ngozi laini, yenye kung’aa na yenye muonekano wa ujana kwa kutumia serum hii ya kisasa
Faida zake kuu:
Hupunguza mikunjo na mistari ya uzee
Husaidia kuboresha texture ya ngozi
Hufanya ngozi iwe laini na yenye unyevu (hydration)
Husaidia kupunguza chunusi na makovu yake
Huchochea uzalishaji wa collagen
Viambato Muhimu:
Retinol – kupambana na aging
Vitamin E – kulinda ngozi
Hyaluronic Acid – kuongeza unyevu
Jinsi ya kutumia:
Tumia usiku kabla ya kulala
Pakaa matone machache usoni na kusambaza taratibu
Tumia moisturizer baada yake
Asubuhi tumia sunscreen (muhimu sana)