EXTRA STRONG PEELING OIL
Tsh 40,000
Hii unaweza kutumia hadi usoni
Inaondoa discoloration kwa kubandua ngozi yenye discoloration
inafanya kazi kwa kuondoa gamba la juu la ngozi lenye seli zilizokufa ( epidermal layer)
Unaitumia kwa siku 3 tu ... baada ya hapo unaiacha ifanye kazi
Inaondoa matatizo ya ngozi kwa haraka Sana
Uhaipaka popote penye tatizo hata kama hamna tatizo
Mfano unamadoa miguuni ukiipaka sehem yenye madoa ngoz inabanduka panabaki smooth ndan ya wiki
au wiki mbili tu unasahau kam ulikua na madoa
kuna wale cream zinagoma kufanya kazi
hii inafanya exfoliation kwa ndani zaidi... inaondoa gamba la juu la ngozi lililojaa seli zilizokufa
yani Gamba la juu la ngozi lisilosikia mafuta
Unaipaka sehem yeyote ya mwili unayotaka
kama... kwenye sugu... viwiko.katikati ya mapaja .kwenye makalio... magotini n.k