sendo – ubora na muonekano wa kisasa!
size: 40, 41, 42, 43, 44, 45
bei ya rejareja: tsh 80,000 tu
unatafuta viatu vya kisasa, imara na vyenye muonekano wa kuvutia?
sendo ni chaguo sahihi kwa wanaopenda style, comfort na ubora halisi.
design ya kisasa
imara na vinaendana na mitindo mbalimbali
inafaa kwa kazi, outing na matumizi ya kila siku
location: kariakoo – mtaa wa congo & agrey
whatsapp / simu:
+
+
+
tunatuma mikoani kote tanzania
usichelewe! mzigo unaisha haraka.
weka oda sasa na onekana tofauti na wengine!