GSM alarm system available
inakuja na motion sensor na sensor ya madirisha(unaweza ongeza kadri utakavyo)
ikisense motion au kufunguliwa dirisha/mlango inapiga alarm
unganisha na simu kupitia wifi utapata notification
unaweza weka laini na kupata taarifa kwa namba 5 tofauti pale inapopiga kelele
ina betri kuiwezesha kukaa na chaja pale umeme unapokatika
unaweza unganisha na vifaa vingine vya smart kama smoke detector nk