Smart smoke detector
Inasense moshi na kupiga kelele kubwa
unaweza unganisha na simu kupitia wifi ukapata notification kwenye simu ikipiga kelele
inakuja na betri inaweza kukaa na chaji mpaka miaka 10
unweza unganisha pia na tuya gsm alarm system
unaweza unganisha smoke detector zaidi ya 5 ikilia moja ikaactivate na zingine zilie
Linda mamili