Ni kamera ya usalama wa nje (outdoor security camera).
Inatumia solar panel kuchaji betri, hivyo haihitaji umeme wa moja kwa moja muda wote.
Ina muunganisho wa 4G / Wi-Fi kutuma picha na video kwenye simu.
Ubora wa picha mara nyingi huwa HD hadi 12MP Ultra HD (kulingana na model).
Ina night vision – inaweza kuona usiku kwa mwanga wa infrared au taa ndogo.
Motion detection – ikiona mtu au mwendo inatuma alert kwenye simu.
Inaweza kuwa na PTZ (Pan-Tilt-Zoom) yaani kuzunguka kushoto/kulia na juu/chini kupitia app.
Hifadhi ya video: Memory card (SD card) au Cloud storage.
Inafaa kufungwa nje ya nyumba, dukani, shambani, au ofisini.
Mara nyingi ni waterproof / weather resistant kwa mvua na jua.