SOLAR POWERED THREE VIEW CAMERA PTZ linkage 4G camera 12Megapixel
-Hii camara ni special sana kwa matumizi ya mashambani, kwenye mifugo (ranchi), Majumbani, mgodini, Viwandani, kwenye Site za ujenzi na sehemu mbali mbali za biashara
-Hii camera inafaa sana kwenye sehemu zenye changamoto ya umeme sababu inatumia Mwanga wa jua tu
-inatumia line ya simu 4G inakubali mitandao yote, iwe Voda, Airtel, Tigo, halotel zote zinakubali kama upo sehemu yenye Wifi pia unaweza kutumia.
-Hii camera ni Waterproof IP66 haitosumbuliwa na Mvua kubwa, Radi wala Mavumbi;
-ina motion sensor inakupa notifications kitu chochote kikipita hapo kwenye site yako na unaweza pia kuset alarm mtu akipita inakupa notifications;