Jipatie GSM and WIFI alarm system kwaajili ya ulinzi wa TV, Milango,Madirisha,Korido na sehemu muhimu za nyumba
Ni System isiyotumia wire (wireless system)
Inakuja na panel yake yenye keyboard ya touch screen
Ina internal battery yenye uwezo wa kukaa na chaji kwa zaidi ya masaa 24hrs
Inakuwa na sensor 4
=PIR sensor *1
=door contact sensor *1
=remote control *2
=RFID card *2
=Siren *1
Unaweza kuongeza sensor zingine zaidi ya 32
Inatumia line (SIM CARD)
Inaunganishwa na simu
Popo utapata notification
kwenye simu yako
na utaweza kuwasha na kuzima (arming and disarming) kupitia simu yako ya mkononi popote ulipo