Sisi ni Ditech Technology Tunatoa Huduma ya Tunafunga HD cctv Camera ,kwenye ofisini yako, Dukani kwako, Hospital yako,
Store yako, pia hata kumbi za harusi, Sehemu yako ya mifugo, Nyumbani
Vifurushi vyetu ni kama vifuatavyo
4 camera full set 550,000
8 camera full set 850,000
Full set za 3k Camera
4 camera 1,050,000
8 camera 1,650,000
Bei hizi ni bei ya set nzima isipokua screen monitor
Unaweza kuangalia matukio Kupitia screen yako pia kupitia simu yako
Inauwezo wa kutoa sauti pindi uzungumzapo kupitia simu.
Ni wired camera Inaonyesha picha angavu (HD)
ukinunua kwetu ufundi ni Bure
Tembelea page yetu instagram kuona camera nzuri
Itakayofaa matumizi yako
Call/Whatsapp
Tunapatikana Kawe Dar es salaam na Mbeya Mbalali Ubaruku