Security camera ya kijanja sana hii kwanza inatumia solar sio umeme pia una connect kupitia simu yako kwa kutumia ku download app yake. pia unatumia na memory card camera inachukua matukio yote live kabisa pia kama endapo unangalia kinacho endelea kwenye nyumba yako au ofisi yako au biashara yako na ukataka kuongea kuhusu icho kitu kinacho endelea basi sauti yako itafika moja kwa moja eneo la tukio ivyo kama ni mwizi unaweza kupiga kelele za mwizi ukiwa mbali na mwizi akasekia na akakimbia