•Kwanini uibiwe au ukose amani kwa uliyemuachia mtoto wako au mali zako ?
•Njia bora yakujua anaeingia na kutoka katika sehem yako pamoja na kusikia wanayoongea
•Inafaa kwa matumizi ya Nyumbani, Shambani, dukani , ofisini , Godown warehouse, Shuleni
•Ni bulb kabisa unauwezo wakuwasha taa kama bulb ya kawaida
•Full High Definition HD clear video
•Unauwezo wakuconnect na simu na ukaangalia matukio yote kupitia simu yako ya mkononi muda wowote ulipo
•Unaweza ukageuza kwenye angle zote 360 unazohtaji wewe kuona, mzunguko huo utacontrol kupitia app na kuona kila angle
•Two way audio , ina mic na speaker yakuwasiliana pande zote mbili unaeza ukaongea nao kwa simu kupitia camera hiyo
•Inaona mpaka usiku clear kabisa
•Unaweza ukaweka memorycard na kukurekodia matukio yote
•Motion sensor setting, itadetect mtu anapopita na kutuma notification kwamba kuna mtu amepita hapo hivo kukupa nafas yakuangalia
•Rahisi kutumika na unaweka sehemu yeyote
•Unaweza kuconnect kwenye simu zaidi ya moja