Tzs 150,000/=
4G home camera
• Camera hii inaingiza line kama simu ya kawaida kupitia line hiyo utaweza kupata access yakuangalia matukio direct kwenye simu yako popote duniani.
•Camera hii haihitaji uwe na wifi
•Bulb hii inakuja na lens 2 yani wakati moja inazunguka hiyo nyengine itabaki kumonitor eneo jengine ili kusiwe na sehem iloachwa bila kuonwa
•Njia bora yakujua anaeingia na kutoka katika sehem yako pamoja na kusikia wanayoongea
•Inafaa kwa matumizi ya Nyumbani, Shambani, dukani, ofisini, Godown warehouse, Shuleni