Kusajili laini za mtandao wa Vodacom na unaungwa kwenye group la timu kwa ajili ya support ya vifaa na vitu vingine vya kikazi. Uhakika wa kuingiza shilingi laki 1 mpaka laki 7 kwa mwezi na utalipwa aoutomatic kila ikifika terehe 24
Requirements & Skills
Ujuzi unaohitajika ni uwezo wa kutumia simu kubwa vizuri unakuwa wakala na unaiingiza kipatoa chako bila stress
Minimum Qualification Requirements
Hhakuna vigezo vingi vya kufuzu zaidi ya kuwa na simu kubwa na utayari wa kufanya kazi kwa kujituma na kukubadilishia maisha yako kupitia uwakala wa Vodacom.
Minimum Experience
less than 1 year
Kikubwa ni utayari wa kufanya kazi na kutoa ushirikiano pale utakapohitajika na tuna kuhakikishia kupata vifaa vya kazi na laini za kusajili .