Tunajihusisha na utengenezaji wa majiko aina zote, ya gesi na umeme kwa bei nafuu zaid. kwa wakazi wa dar-es salaam ipo options mbili ulete ofsn kwetu utengenezewe au tukufate ulipo ili tukutemgenezee. na malipo baada ya kumaliza kazi. ukweli, uamninifu ndio siri ya mafanikio yetu