Tunasafirisha aina mbalimbali za Mizigo kutoka China hadi Tanzania kwa usafiri wa ndege . Mizigo kutoka China hadi Tanzania inachukua siku 3 hadi 5 kukufikia. Tunasafirisha Bidhaa mbalimbali ikiwa ni pamoja na nguo, mabegi, mapambo ya nywele, vifaa vya simu, bidhaa za urembo, n.k!
Bei zetu ni nafuu na zinajumuisha kodi zote za serikali, hivyo kufanya mteja wetu kupokea mizigo yake kwa haraka na mapema bila usumbufu wa kodi na gharama zingine za serikali.
Ofisi yetu ya Tanzania ipo Dar Es Salaam Kariakoo Mtaa wa Kongo na Kibambawe nyuma ya Bank ya UBA, Ofisi yetu ya China ipo Guangzhou. KARIBU TUKUSAFIRISHIE MIZIGO YAKO