Magila / ndanda street, Kariakoo, Ilala, Dar es Salaam
Closed now
• Mon - Sat, 09:00-17:00
Kama unahitaji kuedit kitu chochote kwenye documents karibu. Unachotakiwa kufanya ni kutuma pdf file tunaedit then tunakurudishia pdf file
Hizi kazi hazihusiani na document za serikali
Hatuedit document za serikali
Gharama zetu zinategemea na uzito wa kazi yako. Inaweza inazidi ama ikapungua kulingana na tatizo lililopo kwenye document yako