SIFA ZAKE :
-Unacharge inatumia umeme wa battery
-ina mpira wake mita mbili (2Meter)
-inatumia battery 2 zenye uwezo hadi masaa 6 (lithium battery)
-Rahisi sana kuibeba
-ina pressure kubwa sana
-inasehemu ya maji na sabuni
-Unaweza tumia kwa matumiz mbali mbali kama kuoshea gari,nyumba,ofisi,kumwagilia maua mazao inasaidia umeme ukiwa haupo