Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hili ni jenereta la mr uk, lina zalisha umeme kilowatts 1800 , 1.8kva, lina iniji imara sana na ubora wa hali ya juu, umeme wake umetulia unweza tumia bila stabulaizer, ukinunua nakupa warranty mwaka
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo nyingi
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt