Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hili ni jenereta la mr uk, lina uwezo wa kuzalisha umeme watts 3500 (3.5kw) au 3.5kva,
lina ubora wa hali ya juu sana na injini yake ni imara sana, linatoa umeme ambao umetulia sio ule wakucheza cheza, huu hata bila stabulaizer unatumia tu, nakupa warranty mwaka ukinunua hili
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar nk
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt