Kadi Express ni huduma ya kisasa ya kutengeneza mialiko ya kidigitali kwa harusi, matukio ya kampuni na sherehe binafsi nchini Tanzania
Tunakusaidia kubadilisha mialiko ya kawaida kuwa ukurasa wa tukio mtandaoni unaoweza kutumwa kwa urahisi kupitia WhatsApp & SMS.
Huduma zetu zinajumuisha:
Mwaliko wa kisasa wa kidigitali
Uthibitisho wa wageni (RSVP)
Ramani ya Google ya eneo la tukio
Kukumbusha Michango
Kushare kwa urahisi kupitia WhatsApp & SMS
Kusimamia wageni getini (scan kadi)
Tunatoa huduma ya haraka ya saa 24 ili kuhakikisha tukio lako linaonekana la kipekee na la kitaalamu kuanzia mwanzo.
Lengo letu ni kufanya maandalizi ya matukio kuwa rahisi, ya kisasa na yenye mpangilio bora.