Ondoa "Wi-Fi Dead Zones" leo kwa kutumia TP-Link AC750 Mesh Wi-Fi Extender (RE200). Kifaa hiki kinapokea signal kutoka kwenye router yako na kuisambaza kwa nguvu zaidi maeneo yote ya nyumba.
Dual Band Speed: Inatoa kasi ya hadi 750Mbps (433Mbps kwenye 5GHz na 300Mbps kwenye 2.4GHz).
OneMesh Technology: Inatengeneza mtandao mmoja (seamless) — simu yako haitakatakata unapotembea kutoka chumba kimoja kwenda kingine.
Easy Setup: Unaweza kuset kwa sekunde chache ukitumia App ya TP-Link Tether kwenye simu yako.
Inafanya kazi na Router yoyote: Huna haja ya kubadilisha router uliyonayo sasa.