MR100 4G LTE Router – Mtandao Bila Kikomo!
Umechoka na internet ya kubahatisha? MR100 Router ndiyo suluhisho la kasi na uhakika kwa matumizi ya nyumbani, ofisini, shule au biashara!
Faida Kuu:
Inaweka sim card – huna haja ya laini ya WiFi!
Inasambaza internet kwa vifaa hadi 32
Kasi ya 4G LTE – download na stream bila kukwama
Rahisi kutumia – weka laini tu, na uko hewani!
Bei ya promo: [350,000]
Tunatuma popote Tanzania
Weka oda sasa074XXXXXXX